kupambana na ufisadi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mashamba Makubwa Nalima

    Unaibaje?

    Ni kawaida kwenye maisha yetu watanzania: Tukiona mtu mweusi ana hela tutahoji sana, ila akiwa mzungu, mwarabu, muhindi ama shombeshombe hatuoji, tunaamini ni pesa zao halali na tutafosi tu narratives kwamba wajomba zake wana visima au ana undugu na Bush, Obama na kadhalika. Kwahiyo wewe kama...
  2. Jidu La Mabambasi

    Tukiwa wepesi hivi, tutaweza kupambana na ufisadi na ubadhirifu Wizara ya Ardhi?

    Nimeona hii clip ya Waziri wa Ardhi akiongea na wafanyakazi wa Ardhi wenye tuhuma mbali mbali. Kinachokosekana hapo kwenye kikao ni kahawa na vitafunio. Waziri ana chat na watuhumiwa, tutafika? Hapo ilikusa mtu abebwe masobe msobe ndani ya Defender na ajikute kalalia Segerea...
  3. Crocodiletooth

    Julai 11 siku ya kupambana na ufisadi Afrika

    Mada kuu ya siku hii tukufu ya leo, ni jinsi gani, tutawalinda wale wanaofichua ufisadi Afrika. Tanzania kimya kabisa au haiitambui siku hii. 😈😈😈 Siku ya Kupambana na Rushwa Afrika huadhimishwa kila mwaka tarehe 11 Julai. Hii ni siku iliyotengwa na Umoja wa Afrika (AU) kwa ajili ya kuongeza...
  4. BLACK MOVEMENT

    Rais Samia adhibiti Upigaji wa Pesa la sivyo hizo anazotafuta nje hazitakuwa na maana

    Kadri Raisi Samia anavyo fanya dhiara nje kutafuta pesa zinazo itwa za maendeleo ndio kadri wahuni wanavyo jipigia pesa za Umma. Kasi ya upigaji ni kubwa kuliko ya kutafuta pesa huko nje na inaonekana Raisi hajali kabisa hilo, yeye upigaji sio jambo linalo muumiza kichwa wala kumkosesha...
  5. J

    SoC03 Misingi ya siasa safi

    Makala hii ni muhimu katika kuangazia mienendo mbalimbali ya nchi zinazofuata na kuongozwa na demokrasia na katiba guru Kati ya watawala na watawaliwa, pia makala hii inasisitiza upatikanaji wa demokrasia kupitia misingi iliyowekwa ya haki na usawa kwa wote, Uhuru wa vyombo vya habari...
  6. econonist

    Ofisi ya CAG ifutwe kama hatutaki kupambana na ufisadi

    Kwa maoni yangu yanayotokana na mashambulizi dhidi ya ofisis ya CAG, ni bora tuifute ofisi hiyo maana ni Kama inadharaulika. Naomba nijadili matukio mawili ambayo yamesabaisha nifikie hitimisho hilo. Nikiondoa tukio la CAG Assad kuitwa mbele ya kamati ya bunge kujieleza kipindi Cha ndugai...
  7. Sir robby

    Tanzania tunakopa lakini uwezo wa kusimamia fedha hizo na miradi hatuna. Tuboreshe sheria kupambana na ufisadi

    Watanzania sio kama tunapinga nchi yetu kukopa, kinachowafanya wananchi waonekane kuogopa nchi kukopa ni uwezo mdogo wa watendaji wetu wa kusimamia miradi mikubwa na pia ufisadi mkubwa wa fedha unaofanywa na watendaji "Report ya CAG" imebainisha na pia hakuna hatua zozote zinazochukuliwa na...
Back
Top Bottom