Mhe. Dkt. Florence George Samizi, Mbunge wa Jimbo la Muhambwe amekua Mgeni Rasmi kwenye uzinduzi wa kuelekea maadhimisho ya kumi na moja {11 ya siku ya Wanyamapori Duniani ambayo kitaifa yanafanyika leo Tarehe 3 Machi 2025, Kitaifa Jijini Dodoma.
Uzinduzi huo umefanyika shule ya sekondari...