Naweza kuthibitisha Hilo kwamba ahadi ya serikali kupandisha watumishi wa umma Madaraja kawaida na kwa mserereko kwa MWAKA WA FEDHA 2023/2024 ni porojo tu kwani hakuna dalili yeyote inayoonyesha kufanya hivyo.
Watu mbalimbali wanatabainisha kwamba hawajui lengo la serikali kufanya vikao na...