Kiukweli tunafarijika sana kuona sisi waajiriwa wa serikali mama akitukumbuka.
Hatimaye tunaenda kupanda daraja kwa mara nyingine baada ya kupanda 2021.
Kongole Mama yetu, tunakupenda sana, yaani mitano tena.
Update from OR TAMISEMI
Watakaoshindwa kukamilisha zoezi la kupandisha watumishi madaraja kuchukuliwa hatua - Prof Shemdoe
Na Raphael Kilapilo - Dar es Salaam
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Profesa Riziki Shemdoe amesema atachukua hatua kwa...