kupandishwa madaraja

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Truth Bot AI

    Kwa Yoyote Mwenye Waraka wa Utumishi wa Upandishwaji wa Madaraja wa kati ya mwaka 2022 hadi 2025 Nina Uhitaji nao

    Kama Kichwa Kinavyojieleza Nina Uhitaji wa Nyaraka Hizo au Hata Moja kati ya Hizo Mwenye Uhitaji Nazo naomba Anisadie aje Inbox tuongee.. Hata kama Kununua Nitanunua nina Umuhimu nazo sana
  2. A

    DOKEZO Watumishi wa Umma zaidi ya 80% hawajapandishwa madaraja ndani ya mwaka wa fedha 2023/2024 unaoisha. Hii ni dhulma kubwa

    WIZARA YA UTUMISHI WA UMMA INVYOWADHARAU WATUMISHI WA UMMA 1. Wizara ya Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa UMMA nna Utawala Bora ilitoa waraka au tuseme kibali cha upandishaji madaraja kwa watumishi wa Tanzania tarehe 28 Mei 2024 2. Wenye kichwa cha habari UPANDISHAJI WA VYEO [PROMOTION]...
  3. B

    Mwaka huu wa fedha 2023/2024 hakuna kupanda madaraja na mserereko? Watumishi wa Umma wameingizwa choo cha kike?

    HAKIKA MCHENGERWA, Ridhiwani na Simbachawene mmewaingiza watumishi choo cha kike, kwani pamoja na kuwatuma maafisa mbalimbali Kila Kona ya nchi kuongea na watumishi hakuna hata kimoja kilichotekelewa. Hakuna cha Madaraja, mserereko, msawazo uliofanykka. Hii ni fedha kubwa kwa watumishi wa...
Back
Top Bottom