Kama Kichwa Kinavyojieleza Nina Uhitaji wa Nyaraka Hizo au Hata Moja kati ya Hizo Mwenye Uhitaji Nazo naomba Anisadie aje Inbox tuongee..
Hata kama Kununua Nitanunua nina Umuhimu nazo sana
WIZARA YA UTUMISHI WA UMMA INVYOWADHARAU WATUMISHI WA UMMA
1. Wizara ya Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa UMMA nna Utawala Bora ilitoa waraka au tuseme kibali cha upandishaji madaraja kwa watumishi wa Tanzania tarehe 28 Mei 2024
2. Wenye kichwa cha habari UPANDISHAJI WA VYEO [PROMOTION]...
Anonymous
Thread
kupandishwamadaraja
utumishi wa umma
vyeo watumishi wa umma
HAKIKA MCHENGERWA, Ridhiwani na Simbachawene mmewaingiza watumishi choo cha kike, kwani pamoja na kuwatuma maafisa mbalimbali Kila Kona ya nchi kuongea na watumishi hakuna hata kimoja kilichotekelewa.
Hakuna cha Madaraja, mserereko, msawazo uliofanykka. Hii ni fedha kubwa kwa watumishi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.