kupanga nyumba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mpambanaji orijino

    Natafuta chumba cha kupanga zanzibar

    Habari wakuuu, Natafuta chumba cha kupanga ambacho hakipo mbali sana na michenzani mall, Zanzibar. Chumba kiwe master na bajeti yangu ni kisizidi laki moja kwa mwezi. Anayekifahamu au ambaye anaweza niunganisha na dalali naomba anisaidie. Ahsante
  2. RIGHT MARKER

    Ushauri: Anza hata na chumba na sebule. Nyumba kubwa inatesa

    📖MHADHARA WA 16: Baada ya kununua kiwanja...... Ukibahatika tena kupata vihela kidogo ni bora kuanza kujenga CHUMBA + SEBULE + CHOO. Kama hela zako ni za msimu au hela za kulenga kwa manati usijenge nyumba kubwa, kwasababu inaweza kukutesa kwenye harakati za kuimaliza. Wabongo wana msemo wao...
  3. Yohana Daniel

    Haki ya mpangishaji iko wapi? Naombeni msaada wa kisheria

    Habarini za uzima ndugu zangu Husika na kichwa cha habari hapo juu, naomba Niende moja kwa moja kwenye mada nilikua na mpangaji ambae alilipa pesa ya kodi yake vizuri wakati anaingia shida ni pale tu ilipoisha hakuweza Kulipa tena nikampa notice ya kuhama free bila kunilipa chochote ila huu ni...
  4. Mkalukungone mwamba

    Sehemu gani ya Dar es Salaam huwezi kwenda kupanga nyumba ya kuishi?

    Sehemu gani ya Dar huwezi Kwenda kupanga nyumba ya kuishi? Tupia maoni yako tujuane mapema tu.
  5. ndege JOHN

    Kuna watu hawana hela wanajenga, kuna watu tuna hela ila hatujengi

    Nahisi shida ni moja tu sisi wenye hela tunatamani kujenga kumpita fulani wakati asiye na hela hawazi anajenga vyovyote, anakwenda kisebule na chumba na kistoo na choo kisha anakuja kukupangisha wewe mwenye hela zako; unampa hela anaenda kununua tena kiwanja anajenga nyingine safari. 2023...
Back
Top Bottom