Wakuu igweeee
Naomba kujuzwa au kujua utaratibu wa kupanga kwenye zile nyumba za Magomeni Kota zile mpya
Kama kuna mtu anakaa hapo anipe Raman alipataje nyumba pale
Na mambo ya rent yako vipi?
Nawasilisha
1.Watu wanaouziana magari used ndani ya nchi serikali inekuwa ikipata pesa kwenye kuchange owner name basi ingefaaa pia kabla ya kufanya changes mhusika awasilishe na mkataba wa mauziano ili aweze kulipia 18%VAT
Kila siku mlimani city sio chini ya magari 20 yanauzwa pale
2.Biashara ya kupanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.