1.Watu wanaouziana magari used ndani ya nchi serikali inekuwa ikipata pesa kwenye kuchange owner name basi ingefaaa pia kabla ya kufanya changes mhusika awasilishe na mkataba wa mauziano ili aweze kulipia 18%VAT
Kila siku mlimani city sio chini ya magari 20 yanauzwa pale
2.Biashara ya kupanga...