kupeana talaka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Zijue Hasara 20 za Kupeana Talaka

    Je, unawaza kumpa talaka mke wako au mme wako? Kama una mpango huo, ngoja nikutajie hasara 20 za kupeana talaka, kabla hujafanya uamuzi utakaoathiri maisha yako. Zifuatazo ni hasara zinazoweza kuwapata wanaopeana talaka: Mshtuko wa kihisia – Talaka huleta maumivu makali ya kihisia, msongo wa...
  2. Talaka au kuachana kunawaathiri zaidi watoto

    TALAKA AU KUACHANA KUNAWAATHIRI ZAIDI WATOTO. Sehemu Ya 1 Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na changamoto nyingi sana katika ndoa na mahusiano hali inayopelekea ndoa nyingi na mahusiano mengi kuvunjika. Mbaya zaidi kuvunjika kwa ndoa na mahusiano ambayo teyari kuna watoto ndani yake, wazazi...
  3. Naomba kufahamu Madhara ya kupeana talaka baada ya ndoa Kuvunjika

    Mimi ni mkristo na nipo kwenye ndoa kwa muda wa miaka 8 na tumebarikiwa kuwa na watoto wawili sasa ila kuna jambo nililikosea kwa mkewangu na sasa nataka nimwambie ukweli kuhusu hilo sasa kutokana na uzoefu kumhusu kwa kaliba yake naona kabisa ataenda kukiwasha isivyo kawaida na kwa asilimia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…