kupekua simu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mnaopekua simu za wapenzi/waume/wake zenu huwa mnataka nini kifuate?

    Kuna binti kaja kwenye kikundi leo analia, jana mume karudi nyumbani amelewa binti kafungua simu amekuta meseji za kimapenzi za wanawake, picha za utupu kutoka kwa wanawake watatu na wawili kati yao ni wafanyakazi wenzake na mumewe. Asubuhi hii ameondoka nyumbani akaenda kanisani na hajaongea na...
  2. Polisi: Faini milioni 5 mpaka 20 ukibainika kupekua simu ya mwenza wako

    Mkuu wa Polisi wilaya ya Ludewa mkoani Njombe Selestin Luhende amewataka wanandoa kuacha kupekua simu za wenza wao ili kuepuka madhara yanayoweza kupatikana ikiwemo ugomvi unaoweza kuvunja ndoa pamoja na adhabu zinazoweza kutolewa kwa mujibu wa sheria. Amesema pia endapo mwanandoa utabainika au...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…