kupenda kujisomea

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. G

    Waafrika wengi kwa asili tunachukia kusoma, tukisoma ni kwajili ya vyeti vitupe maslahi tu, home library ni sawa na kutafuta sindano kwenye nyasi!

    Ndio maana inafikia kipindi wanafunzi wanapigwa, ni kwasababu ya kulazimisha mtu afanye asichokipenda by nature. Kuna shuhuda nyingi sana utazisikia, "Bila viboko nisingeweza shule". Hata wale wanaosoma kwa bidii shuleni ni kwa lengo la kupata vyeti wakiwa na mategemeo ya kimaslahi hasa ajira...
Back
Top Bottom