Mara tu baada ya kufunga ndoa takatifu wanawake wameanza kujitongozesha si kazini, gym wala mtaani. Najiuliza walikua wapi mpaka Naoa huyu mnyakyusa wangu Atuganile?
Kuna siri gani kwa marasta. Mbona wanapendwa sana na mademu?licha ya wengi kuwa wachafu na maskini lakini wanawake wakila aina wanawashobokea. Nipeni siri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.