kupima ardhi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Thom Munkondya

    Kwanini bei za viwanja vilivyopimwa ziko juu sana nchini Tanzania?

    Kwa nini bei za viwanja vilivyopimwa ziko juu sana nchini Tanzania? Na Thom munkondya. Viwanja vilivyopimwa vinauzwa bei ya juu sana kwasababu upimaji ni gharama sana. Ukiona sehemu viwanja vilivyopimwa vinauzwa bei ya chini basi ujue hivyo viwanja havijapimwa ila vimetangazwa kama vimepimwa...
  2. Wizara ya Ardhi

    Ilemela yapongezwa kwa kutekeleza Mradi wa Kupanga, Kupima na Kumilikisha Ardhi

    Kamati ya kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Justine Nyamoga imeipongeza Halmashauri ya wilaya ya Ilemela kwanamna ambavyo imetekeleza kwa mafanikio makubwa Programu ya Kupanga, Kupima na Kumilikisha Aridhi katika Halmashauri...
Back
Top Bottom