Polisi nchini Uganda wamewakamata wanawake kadhaa waliokuwa wakifanya maandamano ya utupu kupinga ufisadi nchini humo.
Wanawake hao, baadhi wakiwa na vifua wazi, na mabango, walikamatwa walipokuwa wakielekea Bungeni huku wakipiga kelele za kupinga ufisadi na serikali.
Waandamanaji hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.