kupotea kwa sativa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Abraham Lincolnn

    Sativa amezungumza mengi kuhusu waliomteka. Je, nani amefikishwa mbele ya sheria mpaka sasa?

    Ukifuatilia sakata la Kijana maarufu kama Sativa aliyetekwa na kuokotwa huko Katavi, Yamesemwa mengi, Lakini swali linabaki Nani ameshakamatwa na kuwajibishwa kwa kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria? Kuna kesi yoyote inayoendelea kuhusu wahusika? Wengi wanatajwa mf. Mafwele, Je...
  2. Mindyou

    Kamanda Muliro: Ndio maana sitaki kubishana, Jeshi la Polisi ndio lilimuokoa Sativa kule Katavi!

    Wakuu, Mnakumbuka ile clip ya Sativa baada ya kupatikana kule Katavi na akiwa amezungukwa na wananchi ambao ndio walijitolea kumpeleka hospitali na kuhakikisha anakutana tena na familia yake? Kama utakuwa hujaona hiyo clip, nimeiweka hapo chini. Ni clip inayomuonesha Sativa akiwa amezingirwa...
  3. Black Butterfly

    Boniface Jacob: Rais Samia tunaomba Afande Mafwele anayetuhumiwa kumteka Sativa achunguzwe

    1. Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Tanzania, Samia Suluhu Hassan. 2. Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi, Hamad Masauni. 3. Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Mongoso Wambura 4. Jaji Mkuu wa Tanzania, Ibrahim Juma 5. Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Jacob Nkunda 6...
  4. Poppy Hatonn

    Mtu aliyebatizwa anaweza vipi kufanya uovu?

    Siku moja nilikuwa napita Kariakoo sokoni. Pale alikuwepo muuza magazeti kapanga magazeti pale, wengine wananunua, wengine wanasimama tu pale kutazama. Ilikuwepo headline pale kwenye gazeti moja Imeandikwa, "MTIKILA ASEMA BABA WA TAIFA ANASTAHILI KUUAWA" Siku zile watu walikuwa patient na...
  5. Yesu Anakuja

    Tundu Lissu yupo wapi kwenye suala la Sativa kutekwa na Mchungaji Msigwa kuhamia CCM?

    1. Sijamsikia akisema lolote kuhusiana na kijana kutekwa, kupigwa risasi, na kutupwa Katavi National Park. Labda hajasikia au imekumbusha machungu ambayo hajapata nguvu ya kuzungumza hadi akae sawa. Nilitegemea kusikia akiongelea hili kwa sababu, ni kweli yeye alipigwa risasi ghafla na alihisi...
  6. Kishimbe wa Kishimbe

    Hivi Sativa ni muhanga wa siasa zake au kamari zake?

    Baada ya kuibuka Sakata la SATIVA (ambaye huko X anakwenda kwa @Sativa255), nimejikuta napata hamu ya kumjua zaidi muhusika na harakati zake, kikubwa nilichokiona baada ya kutembelea profile yake ya X ni kwamba, Pamoja na posts zake chache kuwa za kisiasa, zisizo na impact ya kuvutia macho ya...
  7. BARD AI

    Alichosimulia Edgar Mwakabela "Sativa" kuhusu waliomteka na kumpiga Risasi ya Kichwa

    KUTEKWA, KUPOTEA, KUTESWA, KUPATIKANA KWA SATIVA Edga Mwakabela (Sativa225) Maelezo yote yametoka katika kinywa cha Edgar Edson Mwakabela (Sativa255) ambaye alitekwa jumapili 23.06.2024 Darces Salaam na kupatikana 27.06.2024 Katavi. Shughuli inaanza siku ya Jumapili, 23.06.2024, maeneo ya...
  8. Wiston Mogha

    ACT Wazalendo: Tunataka chunguzi kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa kwa Edgar Mwakabela

    Tunataka chunguzi kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa kwa Edgar Mwakabela ACT Wazalendo tunalaani na kukemea vikali tukio la kutekwa, kuteswa na kuumizwa vibaya kwa kijana Edgar Mwakabela, mtandaoni (X) anajulikana Sativa. Mwakabela amepatikana leo tarehe 27 Juni, 2024 huko Mkoani Katavi akiwa...
  9. Huihui2

    Kutekwa kwa Sativa: Polisi anzieni hapa

    Siku 4 zilizopita tarehe 23/ June/ 24, mnamo saa 8: 37 yeye mwenyewe Sativa254 au Edgar Mwakalebela alipost kwenye ukurasa wake wa Twitter (X) maneno haya hapa: "Ukikoswa koswa na mshale wa jicho basi kichwa lazima kiwajibije" Baada ya post hiyo ndiyo akapotea mpaka alipopatikana. Yawezekana...
Back
Top Bottom