Nimewiwa kufikiri "detrimental sequalea" ya kupotea kwa watu na hata kuuwawa. Hili limekaaje katika kuwatisha wageni wetu na athari zake katika soko la utalii.
Kenya wamepitia magumu katika sekta ya utalii baada ya tafrani za kisiasa na mengineyo.
Tukiendelea kumsaidia mh.Rais kupambana dhidi...