Mimi ni CHADEMA, lakini uchaguzi wa leo umenipa funzo kubwa.
CCM wana mbinu nyingi za kushinda uchaguzi, na kwa upande wa upinzani, inaonekana tuko usingizini. Hawa CCM wako tayari hata mtu afe ili wao washinde. Wana mbinu nyingi mno!
Kimsingi, ni haki ya Watanganyika kupuuza uchaguzi, kwa...