Salaam jamiiforum
Asilimia tisini watanzania wingi tuna vipato vya kawaida haswa ukilinganisha na gharama za maisha na pengine ukubwa wa familia.
Na sababu ni hizi
A) Gari lako huna uwezo wa kujaza full tank mara Kwa mara
B) ujenzi wa nyumba yako ni adoado ,yaani vyumba vinne
Halafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.