Salaam jamiiforum
Asilimia tisini watanzania wingi tuna vipato vya kawaida haswa ukilinganisha na gharama za maisha na pengine ukubwa wa familia.
Na sababu ni hizi
A) Gari lako huna uwezo wa kujaza full tank mara Kwa mara
B) ujenzi wa nyumba yako ni adoado ,yaani vyumba vinne
Halafu...