kupunguza wafanyakazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    Kampuni ya Meta kupunguza wafanyakazi na kuanza mbadala wa Akili Mnemba AI

    Meta imeanza kufuta maelfu ya nafasi za kazi huku kampuni hiyo kubwa ya mitandao ya kijamii ikichukua msimamo mkali dhidi ya wafanyakazi wanaoshindwa kufanya vizuri na kujiandaa kifedha kwa ajili ya uwekezaji mkubwa zaidi katika teknolojia ya AI mwaka mwingine. Wafanyakazi waliathiriwa barani...
  2. Mkalukungone mwamba

    G4S Kenya kupunguza wafanyakazi angalau 400 kutokana na hali ngumu kiuchumi

    G4S Kenya imetangaza kuwa itapunguza angalau wafanyakazi 400 kufuatia kupungua kwa biashara kunakosababishwa na athari za changamoto ngumu za kiuchumi, hali ambayo imesababisha kupungua kwa mapato na gharama kubwa za kuendesha biashara. Barua kutoka G4S Kenya kwa Wizara ya Kazi iliyoonekana na...
  3. X

    Boeing imepata hasara kubwa, yaamua kupunguza wafanyakazi 17,000 na kusimamisha uzalishaji wa baadhi ya matoleo ya ndege zake

    Oct, 11, 2024 "Tunalazimika kupunguza idadi ya wafanyakazi wetu ili kuendana na uhalisi wa hali yetu ya kifedha." —Kelly Ortberg (Boeing CEO) Wafanyakazi watakaopunguzwa ni 17,000 ambayo ni sawa na 10% ya wafanyakazi wote. Na hii itaathiri wafanyakazi katika ngazi zote kuanzia executives...
  4. J

    Kupunguza wafanyakazi kwa kutoa notice of termination ya siku 30 lakini hakukuwepo na consultation wala notice for intention of retrenchment

    Habari wadau, Ninafanya kazi shirika fulani tukapewa likizo ya siku 28, siku ya moja kabla ya kurudi kazini nikapewa notice of termination ya siku 30, ikieleza shirika husika linapitia financial difficult na wanafanya wanafanya collaboration na shirika lingine. Kwa hiyo nitafanya kazi kipindi...
  5. R

    Benki za Uingereza zatangaza kupunguza wafanyakazi wiki kadhaa kabla ya Krismasi

    Benki ya Metro inayopitia changamoto kwa sasa ilisema Alhamisi tarehe 30/11/2023 kuwa inatarajia kupunguza idadi ya wafanyakazi kwa 20% kama juhudi sehemu ya juhudi za kokoa Pauni milioni 50 (Tsh. Bilioni 1.2~) kwa mwaka. Tangazo hilo ambalo linaathiri takriban ajira 800, siku hiyo hiyo pia...
Back
Top Bottom