kura za maoni ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    Mchujo wa kura za maoni CCM katika chaguzi zote ndio mara zote huamua na kuakisi sura ya Bunge lijalo

    Kura za maoni ndani ya CCM ndio hasa mwanzo wa kuwapata Rais wa nchi, wabunge na madiwani wa maeneo mbalimbali nchini. Ndio uchaguzi ambao unakuaga na mchuano mkali zaidi ya uchaguzi mkuu wenyewe ambao mara zote hua ni katika kukamilisha tu ratiba, sheria na matakwa ya kikatiba, lakini uchaguzi...
  2. Mindyou

    Pre GE2025 Mwenyekiti CCM Tanga na Mbunge wa Korogwe Vijijini watoa michango ya Milioni 7 kila mmoja ili kununua madawati 200

    Wakuu, Misaada na michango imeendelea kububujika kutoka kwa viongozi wa CCM Hii michango kwanini hatukuiona miaka mitatu nyuma? ================================= Katika kusherehekea miaka 48 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga na Mjumbe wa Kamati Kuu...
  3. Mindyou

    Pre GE2025 Mwanza: Katibu wa UVCCM Sengerema aonya makada wa CCM ambao wameanza kuhujumu mchakato wa kura za maoni ndani ya CCM

    Katibu wa UVCCM Wilaya ya Sengerema amewaonya baadhi ya viongozi wa jumuiya wanaotumika kupanga safu za wapiga kura wa maoni ndani ya CCM, akisema wanakiuka taratibu za chama hicho. Ametoa wito kwa viongozi hao kuheshimu misingi ya chama iliyowekwa na waasisi wake na kuacha tabia zinazoweza...
  4. Mkalukungone mwamba

    LGE2024 Tandale; Wanachama wa CCM wanadai waliomchagua kwa kura nyingi ajashinda lakini mwenye kura 17 ameshinda

    Jamani Moto unazidi kuwaka kutoka kwenye mitaa katika kura za maoni ndani ya CCM. Balaa nyingine wanachama wanadai walimpigia kura za ndiyo ety amekosa nafasi lakini mwenye kura zake 17 ameshinda. Mbona hapa bado tutayaona mengi jamani. Wakazi wa Tandale jijini Dar es Salaam 'wamechachuka'...
  5. chiembe

    Pre GE2025 Kura za maoni za serikali ya mtaa ndani ya CCM, na kura katika uchaguzi wenyewe, zijumlishwe ili kupima kiwango cha ushindi wa Samia 2025

    Nashauri kura hizo ziwe sensa ya ushindi wa CCM nchini kote. Zijumlishwe, ili kupima kiwango cha kura za Rais Samia mwaka 2025. Na pia zitumike kupima sehemu zinazolegalega, ili zikaimarishwe zaidi. Sehemu zinazolegalega, viongozi wa chama wa maeneo hayo wazitambue, watoe sababu, na waingie...
  6. S

    Mchujo wa ndani ya CCM uchaguzi huwa mkali pesa na Rushwa huwa si kigezo ndio maana Lowassa na pesa zake alishindwa kupita

    Mchujo wa ndani ya CCM chaguzi huwa mkali mno wa nani astahili kugombea. Pesa ,Rushwa huwa si kigezo cha mtu kuteuluwa na chama kugombea nafasi ndio maana Lowassa na pesa zake nyingi alishindwa kupita Wengi hata vyama vya upinzani wanashangaa mbona kama uchaguzi wa nani agombee serikali ya...
  7. The Watchman

    LGE2024 Dar: Vurugu wakati wa kupiga kura maoni kata ya Yombo Vituka

    Hizi kura za maoni zimekuwa na vurugu sana CCM, hii inaashiria kutokuwepo kwa demokrasia katika taratibu za kupata wagombea kutoka kwenye chama chao.
  8. The Watchman

    LGE2024 Kigoma: Moto wa vurugu katika kura za maoni CCM umeendelea kukolea

    Vurugu zimezuka kura za maoni Uchaguzi wa kumpata mgombea atakaekwenda kupeperusha bendera Serikali za mitaa Chama cha Mapinduzi mtaa wa Mwanga mkoani Kigoma mara baada ya wananchi kutoridhika na mchakato wa uchaguzi huo.Wajumbe hao wamalalamikia wizi wa kura uliofanywa na baadhi ya viongozi...
  9. Mindyou

    LGE2024 Shinyanga: Madiwani wa CCM wadaiwa kupigana hadharani wakati mchakato wa kura za maoni unaendelea

    Katika Kata ya Ibadakuli, Manispaa ya Shinyanga, kumetokea sintofahamu kubwa kati ya diwani wa kata hiyo, Msabila Malale, na diwani wa Vitimaalumu, Zuhura Waziri, wakati wa zoezi la kura za maoni za chama cha Mapinduzi (CCM). Tukio hili lilitokea jana wakati wagombea wa CCM walipokuwa...
  10. J

    Pre GE2025 Kura za maoni CCM zitakuwa ngumu Sana 2025 kama ilivyokuwa 2015, aliyekatwa mwaka ule sasa ni Katibu Mkuu

    Tunaandaana kisaikolojia tu 2025 hautakuwa mwepesi kwa Wagombea Ubunge wa CCM Nakumbuka kwenye mazishi ya Laigwanani Lowassa CCM iliwakilishwa na Hussein Bashe na Rostam Aziz waliotokea Vatican kuonana na baba mtakatifu Papa Francisco anayeketi kitini pake Mtume Petro wa Kanisa Moja Takatifu La...
Back
Top Bottom