kuringa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hivi kwa nini kibongobongo ukiwa huna shobo na mtu wala kufuatilia mambo ya kijinga unaonekana unaringa na kujisikia?

    Kuna kitu huwa kinanistaajabisha kidogo hapa bongoland hasa kuhusu jamii ya watu wanaotuzunguka. Yani mtu ukiwa huna shobo zile za kindezi kwa watu au kushabikia mambo ya kipuuzi puuzi basi jamii inaanza kukuona kama mtu unaeringa na kujisikia.hivi kwani ni lazima watanzania wote tufuatilie...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…