kurudisha muamala

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. No Internet

    Nimekubali kurudisha muamala wa mpesa kiasi cha shillingi 1.4M uliotumwa kwenye namba yangu kimakosa

    Habari wana jamvi Jana jioni mida ya saa 12 katika mtaa mmoja ninaoishi nilikuwa nimekaa na washikaji zangu tukibishana kuhusu kanuni za mpira baada ya bodi ya ligi kuahirisha mechi ya watani wa jadi simba na yanga Simu yangu mfukoni ika,vibrate kuashiria kwamba kuna sms imeingia, sikuifungua...
  2. Waufukweni

    Benki Kuu ya Tanzania (BoT): Usipopata muamala ndani ya saa mbili ruksa kushtaki benki

    Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imesema kuwa malipo ya benki moja kwenda nyingine yanapaswa kukamilika ndani ya saa mbili, na ikiwa mteja hajapata fedha yake ana haki ya kuishtaki benki husika kwa kuwa analindwa na sheria. Akiwasilisha mada ya mifumo ya fedha, Ofisa Mwandamizi Mkuu, Mifumo ya...
  3. KAGAMEE

    Msaada namna ya kurudisha muamala NMB mobile app

    Habari zenu wadau. Nilikuwa nataka kumtumia mtu hela kupitia NMB MOBILE APP.Bahati mbaya nimekosea namba yake ya mwisho ya account na hela imeenda kwa mtu mwingine (nilikuwa busy sikuzingatia sana jina la Acc).Nimeangalia vipengele kwenye NMB MOBILE APP sijaona option ya kurudisha muamala...
  4. T

    Kimeumana, nimemuweza huyu binti

    Iko hivi ameniambia nimtumie nauli pamoja na yakutolea kisha aje nyumbani. Chaajabu baada ya kutuma nauli na ya kutolea naona kaposti status whatsapp akiwa na shoga ake wanakunywa wine, kwenye hiyo status kaujumuisha na wimbo wa siendiiii nasemaa sieendiiii, katuma na yakutolea, lakini siendi...
Back
Top Bottom