Kugombana kwa wanandoa ni jambo la kiroho na linamalizwa kiroho.
Baba na mama wanaosali pamoja kabla ya kulala au asuhubi kabla ya kutawanyika wanajiweka katika uwezekano mkubwa wa kutogombana hovyo.
Kuna majini maalumu kwa ajili ya kuchafua ndoa (demons of strife).
Unapoendelea kuchochea onbwe...
JE UNASALI NA MWENZA WAKO PAMOJA?
FAIDA ZA MUME NA MKE KUSALI PAMOJA
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
1. Kusali pàmoja kûna epusha migogoro isiyo na ulazima.
2. Kusali pàmoja kûnawapa Muda wa kutatua migogoro Yenu Kwa sababu hamwezi kumwomba Mungu mkiwa mnakinyongo.
3. Kusali pàmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.