Utajiri wa nchi yetu ni mkubwa ktk rasilimali mbalimbali kama misitu,madini,Mafuta na Gesi.
Mikataba ya siri mingi tulioingia na wawekezaji mingi imekuwa na matobo ya kutuadhibu inapotokea tumevunja,kusitisha ama vinginevyo..
Inavyoonekana mapungufu ya kimkataba yamekuwa yakichukuliwa kama...