kushindwa kupata mtoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Unamwacha kwa sababu hazai baada ya miezi kadhaa unasikia ana ujauzito!

    Wanajukwaa mko pouwa? Nimeamua kuleta hii mada kutokana na adha wanazopitia baadhi ya wanandoa au wachumba wanaofikia hatua ya kuachana kutokana na changamoto za uzazi unakuta kunakuwa na kushutumiana baina ya watu walio katika uchumba au ndoa inapotokea wamechelewa kupata mtoto bila kufanya...
  2. comrade_kipepe

    Ukifikisha umri wa miaka 33 bila mtoto ni tatizo, ukiwa huna kipato cha uhakika ni tatizo pia

    Ukifikisha umri wa miaka 33 bila mtoto ni tatizo, ukiwa huna kipato cha uhakika ni tatizo pia. Ukiwa huna mwanamke wa uhakika wa kuishi nae ni tatizo Sikiliza video. Mtangazaji yupo sawa au yeye ndio anatatizo?
  3. Nchi Kavu

    Msaada: Ni zaidi ya nusu mwaka sasa tunatafuta mtoto bila mafanikio, tatizo linaweza kuwa nini?

    Habari wadau, Suala hili linaumiza kichwa. Kwa mujibu wa shirika la afya wanasema mwanamke akitimiza mwaka bila kuzaa na anashiriki tendo, basi huyo ni tasa. Sasa ni zaidi ya nusu mwaka mtoto anatafutwa bila mafanikio. Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa hizi changamoto. Kama mwanamke hana...
  4. D

    Tamaduni zinasemaje kuhusu msaada kwa shemeji ambaye hajapata mtoto kupitia kwa mumewe

    Wanajukwaa mko pouwa. Leo hebu tubadilishane uzoefu.Kama tujuavyo kwamba Dunia ipo pamoja na mazuri yaliyomo ila changamoto zipo pia. Kuna hii changamoto ya kupata mtoto ,Unakuta mke kaolewa kwenye boma flani alafu linapokuja swala la kupata mtoto inakuwa changamoto. Je, inapotokea kwamba...
Back
Top Bottom