kusimamia uchaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Polisi wilaya ya Arusha, waaswa kujipanga kusimamia uchaguzi mkuu

    Jeshi la Polisi Wilaya ya Arusha limehimizwa kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi na kulinda raia na mali zao huku likikumbishwa kutambua kuwa mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi ambapo Jeshi hilo ndilo lenye dhamana ya kuhakikisha ulinzi na usalama wakati wote wa uchaguzi na baada ya uchaguzi...
  2. Abraham Lincolnn

    Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo Mkurugenzi NEC na timu yake ya kusimamia uchaguzi mkuu inateuliwa na anayegombea uchaguzi huohuo

    Hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kuita uchaguzi wa aina hii ni wa 'HURU NA HAKI'. Dunia nzima inaishangaa Tanzania, mbaya zaidi ni pale inapojinasibu huko duniani kote kwamba ni nchi ya kidemokrasia! Hii ni AIBU kubwa sana! Nahisi dunia nzima inashangaa na kuhoji kama watanzania ni...
  3. Jamaa Fulani Mjuaji

    Kero kuhusu ajira za muda kwa watumishi wa umma, hususan walimu

    Katika hali ya sasa ambapo ukosefu wa ajira kwa vijana nchini Tanzania unazidi kuongezeka mwaka hadi mwaka, inasikitisha kuona kwamba serikali bado inaajiri watumishi wa umma, hususan walimu, kushiriki kwenye ajira za muda kama vile kusimamia uchaguzi, sensa, au kuandikisha majengo. Hii imekuwa...
Back
Top Bottom