Tanzania imeorodheshwa miongoni mwa Nchi 10 ambazo Uchumi wake utakua zaidi na kusaidia Bara la Afrika yaani Sub-Saharan Afrika.
Taarifa iliyotpkewa na WB imesema Uchumi wa Afrika utapungua kidogo Kwa sababu ya vita vya Sudan kinyume na makadirio ya awali
My Take: Tanzania ya Mama Samia...
Mwaipaya amesema kwamba, sasa hivi tunamsifia Rais, ila Marais watano waliomtangulia peke yao walikopa kiasi cha Tsh Trilioni 60 kwa awamu zote miaka 60 kwa wastani wa Trilioni 1 kila mwaka, lakini Rais Samia kwa miaka mitatu aliyokaa madarakani amekopa Tsh trilioni 30, sawa na trilioni 10 kila...
Ama kweli wazungu wana dharau sana.
Huku wakiita ni Umoja wa Mabunge ya Dunia lakini wagombea woote ni wafrica tu tena kutoka kwenye Nchi zisizo na Hadhi yoyote kwenye nyanja yoyote kidunia.
Kama ningekua Dr Tulia Ackson nisingegombea.
Kitu chenye heshima ambacho Mzungu hajaona hata kuchukua...
Kufikia usawa wa kijinsia ni lengo muhimu katika maeneo yote duniani kutokana na athari zake chanya kwa jamii, uchumi, na maendeleo kwa ujumla. Usawa wa kijinsia unahusu kutoa fursa sawa na haki kwa watu wa jinsia zote, bila kujali jinsia yao, ili waweze kushiriki kikamilifu katika shughuli za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.