kusini mwa sahara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ChoiceVariable

    Tanzania miongoni mwa nchi 10 zitakazosukuma uchumi wa Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kukua zaidi mwaka 2024

    Tanzania imeorodheshwa miongoni mwa Nchi 10 ambazo Uchumi wake utakua zaidi na kusaidia Bara la Afrika yaani Sub-Saharan Afrika. Taarifa iliyotpkewa na WB imesema Uchumi wa Afrika utapungua kidogo Kwa sababu ya vita vya Sudan kinyume na makadirio ya awali My Take: Tanzania ya Mama Samia...
  2. runtown

    Twaha Mwaipaya: Marais watano walikopa Trilioni 60, Rais Samia pekee amekopa Trilioni 30

    Mwaipaya amesema kwamba, sasa hivi tunamsifia Rais, ila Marais watano waliomtangulia peke yao walikopa kiasi cha Tsh Trilioni 60 kwa awamu zote miaka 60 kwa wastani wa Trilioni 1 kila mwaka, lakini Rais Samia kwa miaka mitatu aliyokaa madarakani amekopa Tsh trilioni 30, sawa na trilioni 10 kila...
  3. B

    Huu Ushindi wa Dr Tulia Ackson umekosa mvuto baada ya kuona Somalia, Malawi na Senegal ndio washindani wake. Je IPU ni bunge la Kusini mwa Sahara?

    Ama kweli wazungu wana dharau sana. Huku wakiita ni Umoja wa Mabunge ya Dunia lakini wagombea woote ni wafrica tu tena kutoka kwenye Nchi zisizo na Hadhi yoyote kwenye nyanja yoyote kidunia. Kama ningekua Dr Tulia Ackson nisingegombea. Kitu chenye heshima ambacho Mzungu hajaona hata kuchukua...
  4. The Sheriff

    Pamoja na hatua nzuri, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara inahitaji kuziba kabisa Pengo la Kijinsia

    Kufikia usawa wa kijinsia ni lengo muhimu katika maeneo yote duniani kutokana na athari zake chanya kwa jamii, uchumi, na maendeleo kwa ujumla. Usawa wa kijinsia unahusu kutoa fursa sawa na haki kwa watu wa jinsia zote, bila kujali jinsia yao, ili waweze kushiriki kikamilifu katika shughuli za...
Back
Top Bottom