Mratibu wa Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) Wakili Onesmo Olengurumwa akizungumza na televisheni ya mtandao ya Sauti Digital.
"Sisi tulidhani na tulishauri sana kwamba serikali iwasikilize (CHADEMA), wawape ile fursa ya mazungumzo na bado tunaendelea kushauri...
Hatimaye maandamano yasitishwa. Somo limeeleweka. Ruto kaona umuhimu wa kuongea.
Sisi tuendelee kusubiria maembe kwenye mnazi.
Raila agenda ni zile zile:
Bila kukomaa itakuwa mwendo wa kulialia tu kama kwetu.
Siri ya mafanikio yao ni uwepo wa nguvu ya umma ya uhakika.
Pia soma >
RAILA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.