Kipindi cha nyuma mlikuwa mnapata ruzuku hadi milioni 300 kwa mwezi, bado misaada ya vyama rafiki, Germany, mkaishia kutafutana na kugawana na vimada wenu kina Joyce Mukya,
Mkashindwa hata kununua kiwanja cha milioni 200, hekari za kutosha, mjenge Makao makuu na kumbi zenu
Leo mna mbunge mmoja...