kutekwa kwa sativa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Abraham Lincolnn

    Sativa amezungumza mengi kuhusu waliomteka. Je, nani amefikishwa mbele ya sheria mpaka sasa?

    Ukifuatilia sakata la Kijana maarufu kama Sativa aliyetekwa na kuokotwa huko Katavi, Yamesemwa mengi, Lakini swali linabaki Nani ameshakamatwa na kuwajibishwa kwa kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria? Kuna kesi yoyote inayoendelea kuhusu wahusika? Wengi wanatajwa mf. Mafwele, Je...
  2. Poppy Hatonn

    Mtu aliyebatizwa anaweza vipi kufanya uovu?

    Siku moja nilikuwa napita Kariakoo sokoni. Pale alikuwepo muuza magazeti kapanga magazeti pale, wengine wananunua, wengine wanasimama tu pale kutazama. Ilikuwepo headline pale kwenye gazeti moja Imeandikwa, "MTIKILA ASEMA BABA WA TAIFA ANASTAHILI KUUAWA" Siku zile watu walikuwa patient na...
  3. BARD AI

    Alichosimulia Edgar Mwakabela "Sativa" kuhusu waliomteka na kumpiga Risasi ya Kichwa

    KUTEKWA, KUPOTEA, KUTESWA, KUPATIKANA KWA SATIVA Edga Mwakabela (Sativa225) Maelezo yote yametoka katika kinywa cha Edgar Edson Mwakabela (Sativa255) ambaye alitekwa jumapili 23.06.2024 Darces Salaam na kupatikana 27.06.2024 Katavi. Shughuli inaanza siku ya Jumapili, 23.06.2024, maeneo ya...
  4. P

    Maombi maalum kwa ajili ya Sativa na Watanzania wote waliofia au kuteswa mikononi mwa polisi

    Mtanzania mwenzetu Sativa yuko hoi kitandani akipambania uhai wake. Mungu ni Mkuu amempa nguvu ya kutoka msituni mahali alipotupwa na kufika barabarani. Huo ni muujiza na hapo kuna kitu Mungu alitaka kuwafunulia Watanzania na Ulimwengu kwa ujumla. Mawasiliano ya simu ya Sativa yataeleza kila...
  5. Wiston Mogha

    Zitto Kabwe: IGP unawezaje kukubali kituo cha polisi kutumika na genge la watekaji?

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania @tanpol unawezaje kukubali Kituo cha Polisi kutumika na genge la watekaji? Unajisikiaje raia ambaye anapaswa kujiona salama kituoni akiteswa kutoka kituoni? Unawezaje kukubali Jeshi hili? Kamanda Wambura nakuomba 1) Ufanyike uchunguzi HURU wa kina 2) wajibisha...
  6. DR Mambo Jambo

    SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa

    Edger Mwakalebela maarufu kama Sativa ambae anadaiwa kutekwa Dar es Salaam siku chache zilizopita amesema baada ya kutekwa alipelekwa kituo cha OysterBay. Sativa ameyasema hayo wakati akiwa katika Hospitali ya Halmashauri ya Mpimbwe alipokuwa akipatiwa matibabu kabla ya kupelekwa hospital ya...
  7. Huihui2

    Kutekwa kwa Sativa: Polisi anzieni hapa

    Siku 4 zilizopita tarehe 23/ June/ 24, mnamo saa 8: 37 yeye mwenyewe Sativa254 au Edgar Mwakalebela alipost kwenye ukurasa wake wa Twitter (X) maneno haya hapa: "Ukikoswa koswa na mshale wa jicho basi kichwa lazima kiwajibije" Baada ya post hiyo ndiyo akapotea mpaka alipopatikana. Yawezekana...
Back
Top Bottom