kutekwa na kuteswa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Askofu Laizer KKKT Dayosisi Magharibi: Siku hizi watu kutekwa ni jambo la kawaida. Tuliofikiri wana majibu ya tatizo hili nao wanapiga Singeli

    Msikilize kwa makini Dkt.Isaac Laizer Askofu KKKT Dayosisi ya Magharibi akiongea na wahumini katika Kongamano la UKWATA kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea "Ndugu zangu tunahitaji kuondoa roho za utekaji. Katika nchi hii siku hizi kutekwa ni jambo la kawaida sana. Na ninyi mnashuhudia watu...
  2. GENTAMYCINE

    Mimi baada ya Jana tayari nimeshamjua aliye nyuma ya Utekaji na Mauwaji ya sasa nchini. Wewe mwana JF bado hujamjua tu?

    Naiomba ile Tume iliyoundwa wala isitupotezee muda, bali iache tu Maisha yaendelee kwakuwa Mtendaji tumeshamjua.
  3. julfox

    Sativa: Kisa cha kutekwa na kuteswa

    Scene 1: Mji wa Dar es Salaam, Usiku Maelezo ya eneo: Usiku wa Dar es Salaam, mitaa yenye mwangaza mkali kutoka kwa biashara za usiku na vilabu vya michezo ya kamari. Sativa ni kijana maarufu anayejulikana kwa kupenda michezo ya kamari. Usiku mmoja, huku akicheka na marafiki zake na akifurahia...
  4. ngara23

    Jeshi la Polisi lijisafishe kwa Watanzania kwa tuhuma za kukosa uadilifu

    Jeshi letu la police Sasa Watu wengi hawaliamini kama kweli lipo kutekeleza majukumu yake kikatiba ya kulinda raia na mali zao Majeshi mengine yanakubalika Kwa uadilifi na kufanya kazi nzuri Mfano Jeshi la wananchi JWTZ linatimiza majukumu yake ya kulinda mipaka ya nchi na linaheshimika sana na...
  5. Bams

    Mambo ya kutisha yanayoendelea nchini ni ishara kuwa nchi yetu ipo katika laana kwa sababu imetiwa unajisi na damu za wasio na hatia

    Matukio ya kutisha na ya kishetani, kama yale ya utekaji wa watu na kuwapoteza, watoto wadogo kuuawa, kutawaliwa na watu wenye mioyo ya ukatili wa kupindukia, uovu kupewa heshima dhidi ya wema, ni ishara kuwa, yamkini nchi yetu ipo katika laana kwa sababu imetiwa unajisi na damu za wasio na...
  6. Bila bila

    Serikali ilipobariki mchezo wa Kuteka na kupoteza wakosoaji, Wahuni nao wakaona hii ndiyo nafasi

    Baba mwenye nyumba ukianza kulala na wapangaji na Vijana wako wakajua, utapata wapi nguvu za kukemea watoto wako wa kiume wakilala na wafanyakazi wa ndani na wa kike watakapolala na wapangaji wa kiume. Hiki ndicho kilichotokea kwenye sakata la Singida na mengine ambayo serikali inayavumbua na...
  7. J

    Enzi za Nyerere Mtu akipotea tulikuwa tunaenda kuripoti Kwa Mkuu wa Wilaya ambaye atatuma Vyombo vyake kumtafuta!

    Kuna baadhi ya mambo yalikuwa mazuri sana wakati wa Mwalimu Nyerere au tuseme enzi za Chama kimoja Mkuu wa Wilaya alikuwa ni Mlezi siyo Mtawala hivyo alihusika kuratibu Ustawi wa Jamii katika Wilaya yake na ikionekana mtu Mmoja hajulikani alipo taarifa ilipelekwa kwake Ahsanteni 🐼
  8. Abdul Said Naumanga

    TLS, yatoa orodha ya watu waliopotea na kutekwa na tamko juu ya ongezeko la vitendo vya utekaji na upoteaji wa watu nchini

    Chama cha Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) kikiongozwa na wakili Boniface A.K Mwabukusi kimetoa tamko zito lililoweka wazi hali ya kusikitisha inayolikumba taifa. Kwa mujibu wa tamko hilo, kumekuwa na ongezeko la matukio ya kutekwa, kupotea, na kuteswa kwa watu nchini...
  9. Utawala2025

    Lini utekaji wa watu kupitia watu wasiojulikana utakoma?

    Habari. Kama kila siku vyombo vya dola vinatuhamasisha wananchi tuweze kulinda Amani ya nchi Yetu. Lakini Hali hii kwa hivi karibuni nchini mwetu imekuwa kitu cha tofauti na kuleta sitofahamu kwa sisi wananchi. Kumekuwa na wimbi kubwa la wananchi kutekwa kwa vipindi tofauti na mazingira...
  10. Analogia Malenga

    Unaweza kutekwa, na ukapigwa kwa amani kabisa, ila watakaokuokota ndio wataleta siasa

    Unaweza kuta mtu umetekwa kwa amani kabisa, wamekupiga wamekung'oa kucha zako vizuri Umepambana mwenyewe, umeokotwa baadae ukiwa katika hali yako mbaya vizuri kabisa Siasa zinaanzia hapo, watu wataanza kugombana ili kubeba credits, mara nani kakuokota, nani kakusalimia wa kwanza, nani sijui...
Back
Top Bottom