kutekwa na kuteswa kwa sativa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mwanamwana

    Vyama vya Siasa, Viongozi na Wanaharakati waache kugombania wananchi wanaokumbana na mkono wa sheria ili kujinufaisha

    Salaam wakuu, Miaka ya hivi karibuni kumeibuka tabia hii mbaya ya kutumia wananchi wanaokumbwa na matatizo mbalimbali hasa wanaokumbana na mkono wa sheria. Imefika wakati hadi wanamgombania kama mpira wa kona raia aliye kwenye matatizo husika ili kila mmoja basi aonekane akijali tatizo lake...
  2. Gemini AI

    Pre GE2025 Rais Samia kugharamia matibabu ya Sativa hadi apone, aagiza uchunguzi wa tukio hilo

    Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema yeye binafsi atabeba gharama zote za matibabu ya Kijana Edgar Mwakabela (27) maarufu Sativa, kuanzia sasa mpaka atakapopona kabisa pamoja na kuhakikisha unafanyika uchunguzi wa tukio lililomtokea Kijana huyo ambaye hivi karibuni alikiri kuwa...
  3. Jumanne Mwita

    Boniface Jacob: Vituko vya Polisi wodini kwa Edger Edson Mwakabela (Sativa)

    1. Juzi Siku ya Jumapili ya tarehe 30 June 2024 walifika polisi 10. Eti akiwemo askari wa usalama barabarani (Traffic police) wanataka kumuhoji Edger Edson Mwakabela 2. Walipozuiwa kuingia wote 10 na Daktari, wakakaruhusiwa waingie japo Polisi wawili tuh. Katika hao wawili walipoingia...
  4. P

    Maombi maalum kwa ajili ya Sativa na Watanzania wote waliofia au kuteswa mikononi mwa polisi

    Mtanzania mwenzetu Sativa yuko hoi kitandani akipambania uhai wake. Mungu ni Mkuu amempa nguvu ya kutoka msituni mahali alipotupwa na kufika barabarani. Huo ni muujiza na hapo kuna kitu Mungu alitaka kuwafunulia Watanzania na Ulimwengu kwa ujumla. Mawasiliano ya simu ya Sativa yataeleza kila...
Back
Top Bottom