kutenda mema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Samson Ernest

    Tunaweza kutenda mambo makubwa tofauti na watu wanavyotujua

    Zab 108:13 SUV [13] Kwa msaada wa Mungu tutatenda makuu, Maana Yeye atawakanyaga watesi wetu. Mtu akikuangalia ulivyo, ulipozaliwa, kazi yako, biashara yako, elimu yako, maisha yako, anaweza asiamini juu yako unaweza kufanya mambo makubwa katika maisha yako. Jamii zetu zinatuona hivyo, familia...
  2. Superbug

    Jakaya Kikwete pamoja na kufanya mambo mema kwenye nchi yetu lakini ni maeneo machache yameitwa kwa jina lake

    Jina la Jakaya Kikwete limeitwa mambo machache sana ninachokumbuka ni taasisi ya kibingwa ya moyo JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE. Nyerere ndio anaongoza jina lake kuitwa maeneo mengi MAGUFULI hakustahili kwa namna alivyoboronga kwenye uongozi.
  3. Mandela5599

    Huwezi kutenda mema kwa nguvu zako mwenyewe ukatoboa

    Mambo vipi wadau! Nataka nitumie jukwaa hili kuwakumbusha vijana wenzangu kwamba ni dhahiri kila mmoja wetu anatanani kuwa mtu mwema Hakuna mlevi anaependa kulala mitaroni kwa ulevi au kujidhalilisha Hakuna mtu anaependa kuwa na hasira kali zinazo haribu hatma ya maisha yake na wengine...
  4. Yesu Anakuja

    Tena tusichoke kutenda mema!

    Kuna ofisi moja nilipita, ya serikali, ndugu wapokezi (receptionists) jueni kuwa Mungu amewaweka hapo ili mhudumie wananchi, acheni kiburi, fanyeni kama mnafanya huduma kwa wanadamu mliyotumwa na Mungu kwasababu kwanz amnapokea mshahara kutokana na kodi za wananchi hawahawa! acheni dharau...
  5. Pdidy

    Haya mabasi mnayoamsha na abiria asubuhi msiache kutenda mema siku zote

    Kidogo tumeanza kubadilika Majuzi nilisafiri na basi moja to Arusha Wakataka details zangu hamad nikaweka alarm, yaani sijaamka Nasikia simu habari naviga toka kampuni fulani safari yako ni saa tukukute kituo fulani muda wa kuamka sasa Nilipenda sana nikatamani na ndege mtuamshe hivi maana...
  6. kwisha

    Hata utende mema 100, kosa moja litafuta mazuri yote

    Siku zote unaweza kutenda mema 100 lakini wapo wanadamu ambao watasubiri utende kosa moja tu ili kufuta mazuri yote ambayo umewahi kutenda katika maisha. Mwanangu usikate tamaa, wewe ni mwanadamu huwezi kutenda yote, na huwezi kufanya yote yakawa sahii. By Donald Trump
Back
Top Bottom