Mambo ya kiroho yanahitaji high commitment wewe na higher power yako.
Mwamposa anatoa dhabihu. Ukiwa mtu wa kujituma, smart na unatoa dhabihu katika mamlaka za juu basi utafanikisha mambo mengi.
Dhabiu ni kiwango cha juu cha sadaka na zaka. Hauwezi kuwa unatoa elfu moja msikitini na kanisani...