kutoa msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kutoa msaada Mbele ya Ma-Camera!

    Inashangaza Sana kutoa misaada kwa wahitaji Mbele ya Camera Kama zote. Ili upate nn?
  2. Davido kutoa msaada wa 68M kwa Yatima baada ya kuchangiwa pesa na mashabiki

    Nyota wa muziki miondoko ya Afrobeats Davido anasema atatoa naira milioni 250 ($608,000; £450,000) kwa mayatima nchini Nigeria baada ya mashabiki wake kumtumia pesa. Mapema wiki hii, mwanamuziki huyo maarufu aliwaomba mashabiki wanaoamini kuwa "Aliwapa wimbo mzuri" kumtumia pesa kwenye akaunti...
  3. S

    Nitawezaje kutoa msaada huu kwa wahitaji?

    Nina mavazi ya kiume ya mtu mzima. Mashati, suruali, makoti, viatu, mabegi,mashuka nk Mengine yamewahi kutumika na kuna mengine hayajawai tumika. Naamini kuna watu wanauitaji wa hivi vitu kuliko mimi kuviteketeza. Kwa mwenye kufahamu namna naweza kuvifikisha kwa wahitaji. Iwe wazee, watoto nk...
  4. J

    Hakuna mwanasiasa anazungumzia tatizo la ajira Tanzania, wengi wamejikita kutoa misaada ya matundu ya vyoo na taulo za kike

    Siyo CCM wala Upinzani hakuna mwanasiasa anayezungumzia tatizo kubwa la ajira linaloikabili nchi yetu. Wanasiasa wengi wamejikita kwenye kutoa misaada myepesi kwa wananchi kama vile kujenga matundu ya vyoo na kugawia watoto wa kike taulo. Tatizo la ajira ni bomu linalosubiri kulipuka, serikali...
  5. Morrison amparua Manara, Senzo ahusika kutoa msaada

    Katika ukurasa wake wa instagram Ndugu Haji Manara aliandika maneno yenye kila dalili ya kejeli kwa Bilionea Mohamed Dewji " Mo". Kuoneshwa kutofurahishwa na jambo hilo, winga machachari na hatari Bernad Morrison ameandika maneno yakumuasa manara, kuwa usikejeli watu waliokustili mwanzo kwani...
  6. M

    Amempa mwanae ubini wangu

    Ni Ex girl friend wangu baada ya kutemana mwaka Kama na nusu hivi akapata ujauzito alfu msela kasepa akabaki kwenye mazingira Tata Sana. Nikajitolea tu kumsaidia ili asidhalilike Ila baada ya kujifungua kampa mwanae jina la baba yangu hii imekaaje.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…