Mara moja moja ukiamka asubuhi utakuta vialama vya udenda..(Kidogo)
Hii ni kawaida..
Ikitokea ukilala unatoa udenda mwingi kupita kiasi huenda shida ikawa ni:-
-Unazalisha mate mengi hasa wakati wa usiku
-Upande unaolalia (Mara nyingi ukilalia upande wa kusho au kulia)
-Misuli ya mdomo...