kutunza siri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Utawezaje kutofautisha kati ya kutunza siri na kusema uongo?

    Wapo baadhi ya watu ambao hupenda kujua mambo yanayokuhusu au mambo asiyoyajua; na anatamani kuyajua ila hapaswi kuyajua kwa wakati huo. Sasa ikiwa wewe ndiye unaulizwa kuhusu jambo au taarifa fulani unayoijua ila hupaswi kuisema kwa huyo anayekuuliza kwasababu ni SIRI; Je utamdanganya kwa...
  2. Kama huwezi kutunza siri usisome hii

    Hadithi ya kuvutia sana Soma mpaka mwisho...utajifunza kutunza siri. Siku moja Mwanaume mmoja mtanashati sana aliingia hotelini na akaomba kumuona bosi. Bosi alipokuja, hadithi ikaanza. Mteja: Je, chumba namba 39 kiko wazi? Bosi: Ndiyo, bwana. Mteja:Naweza kukiomba? Bosi: Bila shaka unaweza...
  3. Ukijua aibu za mwenzio hebu zipotezee tu usianze kuzisambaza

    Salamu wanajamvii. Kila mtu ana mambo au aibu ambazo angependa zibaki kwake tu kwa maana zisijulikane kwa wengine. AmakIkiwa siku siku utabahati Kusikia aibu ya mwenzako basi jizati ubakie nayo, Usianze kuisambaza kwa kila mtu Leo utaona Sifa kusambaza iabu za watu kesho zako nazo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…