Hadithi ya kuvutia sana
Soma mpaka mwisho...utajifunza kutunza siri.
Siku moja Mwanaume mmoja mtanashati sana aliingia hotelini na akaomba kumuona bosi. Bosi alipokuja, hadithi ikaanza.
Mteja: Je, chumba namba 39 kiko wazi?
Bosi: Ndiyo, bwana.
Mteja:Naweza kukiomba?
Bosi: Bila shaka unaweza...