MWANAMKE ambaye hajafahamika jina lake na anayedaiwa kuwa ana ulemavu wa akili, amejifungua mtoto mchanga kisha kumtupa kwenye eneo la shule ya msingi Msali "A" iliyopo kijiji cha Ngararambe kata ya Nyakahura wilayani Biharamulo mkoani Kagera, huku baba wa mtoto huyo akiwa hajulikani...
JESHI la Polisi mkoani Singida, linamsaka mwanamke mmoja ambaye bado hajatambulika kwa majina na anwani ya makazi yake kwa kumtupa mtoto mchanga kwenye tundu la choo.
Mtoto huyo baada ya kuopolewa kwenye tundu la choo alipelekwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida ambapo bado...
Kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma, Martin Otieno amesema kuwa Jeshi hilo linamshikilia mkazi wa wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Nasra Khalifa kwa tuhuma za kumtupa mtoto mchanga katika mtaro wa maji taka baada ya kujifungua usiku wa kuamkia Jumatano ya Septemba 13, 2022.
Mwananchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.