kuunganishiwa umeme

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    DOKEZO TANESCO Tarime siyo waadilifu, bila kutoa rushwa huunganishiwi umeme kwa wakati

    TANESCO wilaya ya Tarime wamekuwa siyo waadilifu kutekeleza majukumu yao, inashangaza wateja wanalipia toka mwezi wa pili mwaka 2024 mpaka mwezi huu wa nane hawajaunganishiwa umeme! Ukienda ofisini kuuliza wanakwambia nguzo hazipo ama vifaa vyako havijafika huku wengine wanalipia na...
  2. A

    KERO TANESCO Muleba mkoani Kagera hawawaunganishii umeme wateja kwa wakati

    Tunaomba mchunguze ofisi za TANESCO Wilaya ya Muleba -Kagera, hawataki kutufungia Umeme kwa wakati, angalau tujue tatizo ni nini.
Back
Top Bottom