Wasichana wawili wa kuuza duka, wanahitajika:
Waombaji wawe na sifa zifuatazo:
1.Wawe wasichana wa umri wa kuanzia miaka 19 mpaka 23
2.Wawe na elimu ya Kidato cha nne
3.Wasiwe na familia/kuolewa wasiwe na mtoto/watoto.
4.Wawe na uzoefu wa kuuza duka, na kufanya miamala ya kifedha(uwakala)...