Vita kati ya kina lazaro (aka TRA) na wafanyabiashara imefika pabaya. Leo tumeshihudia maduka yakiwa yamefungwa palę Kariakoo.
Huenda kweli kuna wafanyabiashara ambao wanakwepa ushuru, ila sasa kinachoonekana machoni pa wafanyabiashara ni kwamba wanaonewa. Kamata-kamata ni nyingi mno.
Sasa...