1.Fungua youtube channel
-Hapa focus kwene kipaji chako, waonyeshe au waambie watu kuhusu kipaji chako.
Kama n mbea pia uwe unaongelea watu maarufu
2.Uza vitu/bidhaa
-Kam huna mtaji anza kuuza vitu kama makopo ya kuotota ,vyuma chakavu
-kama unamtaji tafuta bidhaa peleka sehemu ambayo inauzika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.