1.Fungua youtube channel
-Hapa focus kwene kipaji chako, waonyeshe au waambie watu kuhusu kipaji chako.
Kama n mbea pia uwe unaongelea watu maarufu
2.Uza vitu/bidhaa
-Kam huna mtaji anza kuuza vitu kama makopo ya kuotota ,vyuma chakavu
-kama unamtaji tafuta bidhaa peleka sehemu ambayo inauzika...