kuwa single

Kuwa (桑, "Mulberry") was one of 18 Matsu-class escort destroyers built for the Imperial Japanese Navy during World War II.
Completed on 25 July 1944, Kuwa was assigned to Desron 11 of the Combined Fleet for training. Organizational demands meant she spent the next three months attached to Desdiv 43 (an antisubmarine formation) while officially part of Desron 11.
Kuwa's assignment to Desdiv 43 was formalized shortly before the Battle of Leyte Gulf, where she was part of the escort for the Northern Force. After Zuihō sank, Kuwa rescued the majority of her survivors, so overloading the small destroyer that they had to be forbidden from moving until some could be transferred to other ships at Okinawa.
Afterwards, Kuwa returned to Kure for minor repairs, then escorted the battleships Ise and Hyūga during their transportation run to Manila. Massive air raids deterred the battleships from completing the journey; their cargo was transferred to fast transports at the Spratly Islands, which Kuwa and others escorted through to Manila Bay. Kuwa spent the next two weeks operating near Manila.
Kuwa's final operation was to escort convoy TA-7 from Manila to Ormoc Bay. Reaching the destination late on 2 December 1944, Kuwa took up a patrol position seaward of the unloading convoy, while her sister Take took on survivors from a previous convoy. Unfortunately for Kuwa, this meant that when three American destroyers attacked just after midnight, she was their first target. Charging to meet the enemy, Kuwa was savaged by gunfire, out of action by 0020 and sinking thereafter. She did not go down alone, however; USS Cooper was hit by a torpedo, broke in two, and also sank. The two remaining American destroyers fled, fearing Japanese reprisal; Take and the convoy also hastily departed, only rescuing eight of Kuwa's survivors as they passed. Many made it to shore, but some were still afloat when US forces returned to rescue Cooper's survivors, and were taken prisoner.
Kuwa was struck from the Navy List on 10 February 1945.

View More On Wikipedia.org
  1. Bora niendelee kuwa single

    Zamani kabla ya kuingia ndoani nikiona watu wanaachana nilikuwa najiuliza hivi inawezekanaje mtu amuache mkewe au mumewe waliooana kwa bashasha zote, weee!! Kumbe ulikuwa ni utoto , ukikua utaacha. Kuna ule wimbo wa darasa unasema " Tembea ujionee Dunia imebeba mengi". Kweli Kabsaa Dunia...
  2. Hivi hii ya wanawake wazuri kuwa single kwa sababu ya uzuri na kwa wanaume ipo?

    Katika dunia ya sasa ambayo mapenzi ni kama game play, watu wanaingia kwenye relationships wakiwa na kipima joto, wasiwe na mtu atakaye waumiza, or asiwe juu sana or chini sana based on expectations alizo jiwekea yeye. Ongezeko la wanawake walio single, linazidi kuongezeka. Let alone wao jamii...
  3. M

    Hivi kuwa single kwa muda mrefu kunaweza kusababisha mtu kuogopa kufanya mapenzi

    Habar za jioni Wana jf nina Imani ni wazima na hata wale mlio na changamoto za kiafya niwatakie kupata nafuu soon. Mimi ni kijana 28 yrs old sasa na Toka nimesoma sekondari kiukwel nilkuwa school boy TU Sikujihusisha sana na mapenzi, chuo napo niliyapambania sana haya mapenzi lakini ndioivo...
  4. Mwanaume Baki na chako mwezi December, ni kipindi cha kuwa single Kwa wanaume

    Nawapa mbinu ya kimafya, Hii mbinu sitarudia tena kuitoa Ukipuuza usije unalia January Kipindi hiki ndo washamba wanapata mademu na majukumu mapya na magumu Kipindi hiki ndo utalipa nauli za kwenda Moshi Kipindi hiki ndo utamnunulia viwalo Kipindi hiki Watoto wake wapo likizo laZima uwatoe...
  5. Bora Kuwa Single Maisha Yangu Yote kuliko kuwa na Mwanamke Ambaye Yuko na Mimi Kinafiki na Hanipendi

    Leo mdau wenu Pang Fung Mi nasema kwa uchungu kabisa sababu ya kuwa mwanachama hai na wa kudumu wa muda wote wa Chama cha wakataa Kuoa na kataa kuishi kindoa na Mwanamke. Wanawake wamejaaliwa roho mbaya na roho chafu sana, roho ya kupewa, roho ya Chawa, roho ya kiroboto. Wanawake wengi...
  6. Ushauri kwa vijana wenzangu, Kama upo single endelea kuwa single, achana na mahusiano

    Kama upo single baki tuu kuwa single, maana usipotoa shida ukitoa shida vilevile.
  7. Mwanaume akipata pesa anafikiria kuanzisha familia (Kuoa) wakati Mwanamke akipata pesa anafikiria kuwa single mother

    Hii inafikirisha sana na inaonesha ni kwa namna gani wanawake wengi ni wabinafsi. Mwanaume akipata pesa atakachofikiria kuoa na kupata watoto na kuendeleza familia iwe bora zaidi . Ila sasa kwa wanawake wakishapata pesa tu cha kwanza watakachofikiria kama yupo ndoani atataka avunje hiyo ndoa...
  8. RIHANNA: Sipo tayari kuwa single mother hata kama najitosheleza kulea mwenyewe

    Haya ni maneno aliyoongea billionea Rihanna kwenye moja ya interview zake ambayo ilizua hisia tofauti tofauti miongoni mwa mashabiki zake. " Sitaweza kuachana na mme wangu hata kama akinichiti kwa sababu wanangu wanamuhitaji baba yao na pia hata mimi nahitaji niwe na familia iliyotimia."...
  9. Natarajia kuwa single, jimbo litakaa wazi

    Huyu mwanaume nimemchoka. Nitaorodhesha weakness zake hata wewe utaniambia nilipaswa kummwaga zamani. Sababu z kuachana 1. Mlevi kupindukia 2. Kwa siku anatumia si chini ya laki3 3. Ameoa anaishi na mke kwa siri. 4.
  10. Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

    Hapo nyuma kampeni na uhamasishaji ulikuwa mkubwa sana, na wengine walisikika wakisema, "Wanawake Tunaweza." Sasa, athari zake zimeanza kuonekana: wanawake wenye watoto wasiokuwa na baba wamekuwa wengi kadri muda unavyosonga mbele. Sijui itakuwaje baada ya miaka 20 ijayo. Mbaya zaidi, hawa...
  11. Sio kila Single Mother anateseka na maisha wengine wanabarikiwa baada ya kuwa Single Mothers

    Shalom, Siwezi kusema mengi sana kuwa single mother ni matokeo ya maisha ya sisi wanadamu kama ilivyo kwa magonjwa na vifo na mengineyo. Kuna single mothers wamebarikiwa baada ya kuwa single mothers, wengine wamefunuluwa baraka na Neema tele baada ya kuachika kwenye ndoa zao. Kuna baadhi ya...
  12. G

    Let's be honest: Kwanini upo/ uliwahi kuwa single kwa muda mrefu?

    Nakumbuka nikiwa chuoni hadi nikawa najiulizaga mwenyewe nakosea wapi mpaka nakuwa single ? Yani nilikuwa naona wivu sana wenzangu wanavyoleta madem zao huku mimi nabaki kupigwa excile, kusifia shem huku roho inauma, n.k. Niliona naweza kumaliza chuo kwa usingle Nikaja kugundua kwamba nipo...
  13. Wanawake msiotaka kuwa single mother pitieni hili bandiko

    Wale ambao mshakuwa single Maza poleni sana Sina Cha kuwaambia zaidi ya kuwakumbusha kwamba maji yakishamwagika hayawezi kuzoleka Tena Enyi mabinti Usibebe mimba wakati upo kwenye mgogoro na mwenza wako..jiepushe kadri iwezekanavyo Usibebe mimba wakati ushajua mwenzio anakuhisia vibaya kwamba...
  14. Hivi kuwa single mwisho miaka mingapi? Isijekuwa nishapitiliza.

    Wakuu tujuzane hapa , naona Kama nishapitiliza, au niendelee tu kuwa single.
  15. Nasisitiza; Binti usizae kabla hajakuoa(Epuka kuwa single Mother)

    NASISITIZA; BINTI USIZAE KABLA HAJAKUOA "EPUKA KUWA SINGLE MOTHER" Na, Robert Heriel Elewa kuwa jukumu la kubeba mimba Kwa mwanamke ambaye hajaolewa ni lake mwenyewe sio la mwanaume. Sisi wanaume hatuna muda wa kuwaza mambo ya mimba ambayo hayatuhusu Kwa watu ambao hatujawaoa. Ndio maana hata...
  16. Kuwa single mateso

    Habarini ndugu zangu, Acha niende kwenye mada moja kwa moja, iko hivi kumekuwa na misemo ya kujifariji kwa sisi vijana eti 'kuwa single unainyoy ' au 'ukiwa single unakuwa huru na mambo yako ' na maneno mengine mengi lakini Ukweli kuwa single ni shida. Binafsi nina experience ya kuwa Single...
  17. Taja raha za kuwa single ili wenye ndoa wajifunze

    Salaaam magreat thinkers Leo tukiwa tunaendelea kusononeka baada ya shule kufunguliwa nimewaletea baadhi za faida za kuwa single ( bila kuoa) 1. Tuliosingle tunajiamini, watu waliosingle wanajiamini kila idara kutokana na uzoefu wa kukwepa mitego kadha wa kadha kutoka kwa wadada...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…