Ili kujenga taifa tulitakalo na kufikia ndoto za wengi, ni lazima tukabiliane na matatizo yaliyomo ndani ya nchi yetu kwa kuboresha na kusimamia sheria.
1. Uwajibikaji wa viongozi katika kusimamia rasilimali za umma pamoja na uongozi.
2. Kuundwe sheria, au kuwe na utekelezaji wa sheria...
Hili ni la msingi sana, kuna siku Maliasili zote za Nchi zitaondoka na ubadhilifu mkubwa utafanyika na tutaendelea kupiga kelele huku wahusika wanadunda mitaani.
Hili ni la msingi sana tuweke uchama pembeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.