Ili kujenga taifa tulitakalo na kufikia ndoto za wengi, ni lazima tukabiliane na matatizo yaliyomo ndani ya nchi yetu kwa kuboresha na kusimamia sheria.
1. Uwajibikaji wa viongozi katika kusimamia rasilimali za umma pamoja na uongozi.
2. Kuundwe sheria, au kuwe na utekelezaji wa sheria...