Hivi karibuni (Mwezi Juni 2024) wakati Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano waTanzania, Tulia Ackson akitangaza maamuziya kumsimamisha Mbunge Luhaga Mbinakushiriki vikao 15 vya Bunge pamoja nashughuli nyingine za Kibunge alisema moja yasababu ya kufanya hivyo ni kwa kuwa Mpinaalikiuka na...