Ukisha wagawa watu hutoweza kuwaongoza. Samia ashafeli mapema hatofanikiwa kwa kiwango kikubwa.
Samia alipopata madaraka ukweli watanzania wengi walikuwa wanampenda Sana, si CCM, si Chadema Wala ACT wote walikuwa na matumaini makubwa. Samia hotuba zake za kwanza zilikuwa na matumaini, zilikuwa...