Kila binadamu ni mbegu, ukizaa na mtu tegemea hao watoto wako watafanana tabia na muonekano sawa na uliyezaa naye hadi uwezo wa kiakili.. kabla haujafikiria kuchanganya damu na mtu hakikisha umejiridhisha kila kitu kuanzia tabia , muonekano wa huyo mtu na uwezo wa kiakili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.